Friday, July 27, 2012

MAFAO NSSF

Kuna taarifa kuwa limetoka tamko linalosema kuwa mtu mpaka kulipwa mafao yake inabid asubiri kwa miaka 55. Je wewe kama kijana mwenzangu uliyeajiliwa au ambaye unategemea kuja kuajiliwa una maoni gani juu ya hili tamko?

No comments:

Post a Comment