Friday, July 27, 2012
MAFAO NSSF
Kuna taarifa kuwa limetoka tamko linalosema kuwa mtu mpaka kulipwa mafao yake inabid asubiri kwa miaka 55. Je wewe kama kijana mwenzangu uliyeajiliwa au ambaye unategemea kuja kuajiliwa una maoni gani juu ya hili tamko?
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment