Tuesday, May 14, 2013

UALIMU KAZI

MWALIMU: HIvI kwa nini kila cku unachelewa kufika shule kwani unaishi wapi?

MWANAFUNZI: Mbali sana.

MWALIMU: Mbali!, Mbinguni

MWANAFUNZI: Mbinguni kwa mbele kidoogo..

No comments:

Post a Comment